Application Form for Ordinary Diploma Education Programmes

MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING
National Council for Technical Education (NACTE)
Application Form for Ordinary Diploma
MAELEZO KWA WAOMBAJI
Education Programmes
JINSI YA KUOMBA
Njia rahisi ni kutumia mtandao kupitia tovuti www.cas.ac.tz au www.nacte.go.tz. Fomu hii ni kwa wale ambao hawana
uwezekano wa kutumia mtandao. Pamoja na kutumia fomu hii, bado utalazimika kusoma kwa makini maelekezo ya kina
kuhusu programu hii kama yalivyoelekezwa kwenye matangazo.
Watakaotumia sifa za kidato cha nne pekee kuomba nafasi hizi hawatakiwi kuambatanisha vyeti vyao isipokuwa risiti ya
malipo tu. Aidha wale watakaotumia sifa mbadala watatakiwa kuambatanisha vivuli vya vyeti vyao pia.
Lipa kupitia akaunti ya benki ya NBC au NMB iliyo jirani nawe kupitia moja ya akaunti zilizopo kwenye hapo chini.
Kumbuka kuandika jina kamili la mwombaji kwenye risiti ya Benki wakati wa kulipa. Baada ya kulipia jaza fomu ya
maombi inayopatikana katika tovuti na kuituma ikiwa imeambatana na risiti ya malipo ya shilingi 20,000/-.
National Bank of Commerce (NBC)
Jina la Akaunti: National Council for Technical Education (NACTE)
Namba ya Akaunti: 011103000525
Mlimani City Branch
National Microfinance Bank (NMB)
Jina la Akaunti: National Council for Technical Education (NACTE)
Namba ya Akaunti: 20110009374
Bank House Branch
SIFA ZA MUOMBAJI:
1. Stashahada ya Kawaida ya Elimu ya Awali na Stashahada ya Kawaida ya Elimu ya Msingi
Sayansi (Tarajali) (Miaka 3)
a) Wahitimu wa kidato cha IV- mwaka 2013 ambao hawakupata nafasi ya kujiunga na kidato cha V
katika shule za sekondari za Serikali mwaka wa masomo 2014/15. Orodha ya wahitimu husika
inapatikana kwenye Tovuti: www.nacte.go.tz; www.moevt.go.tz; au www.pmoralg.go.tz.
b) Waombaji wengine wenye ufaulu usiopungua Daraja la III katika mtihani wa Kidato cha IV
uliofanyika kwenye kikao kimoja (single sitting) na wana ufaulu wa angalau masomo mawili (2) ya
sayansi na astashahada (cheti) yoyote.
c)
Waombaji wengine wenye ufaulu usiopungua Daraja la IV katika mtihani wa Kidato cha IV
uliofanyika kwenye kikao kimoja (single sitting) na wana ufaulu wa angalau masomo mawili (2) ya
sayansi na pia wana astashahada (cheti) yoyote.
NB: Kwa waombaji wa stashada ya kawaida ya elimu ya awali ufaulu wamasomo ya sayansi
sio lazima.
2. Stashahada ya Kawaida ya Elimu ya Msingi -Walimu kazini (Miaka 2)
Wanaotakiwa kuomba mafunzo haya ni: Walimu Kazini shule za msingi (In-Service) ngazi ya Cheti
Daraja ‘IIIA’ wenye uzoefu wa kazi usiopungua miaka 2 na waliokatika mpango wa mafunzo kwa
mwaka wa masomo 2014/15 katika Halmashauri zao.
Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 20 Jan 2015.
Page 1/3
MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING
National Council for Technical Education (NACTE)
Application Form for Ordinary Diploma
Education Programmes
Please fill in this form carefully USING CAPITAL LETTERS AND BLACK PEN ONLY
APPLICATION FORM
PART A: PERSONAL DETAILS
Note: First Name and Last Name should match names on your O’ Level and A’ level Certificates
First Name
Middle Name (If applicable)
Surname (Last Name)
Date of Birth (D/M/YYYY)
Sex
Male
Female
Physical Disability
Visual
Hearing
Place of Birth (Region)
Mobility
Speech
PART B: CONTACT DETAILS
Contact Address
Valid email address
Confirm email address
Mobile No.
Current Location: District:
Region
CONTACTS OF PARENT OR GUARDIAN
Full Names of Parent/Guardian:
Contact Address:
Valid Email Address:
Mobile No.:
Region:
PART C: ACADEMIC BACKGROUND
Certificate for Primary Education School:
Name
Certificate for Secondary Education Examination
Year
Index No.
Advanced Certificate for Secondary Education Examination
/
Year
Index No.
/
Others Qualification (eg GRADE IIIA)
Name of School/College
Year of Graduation
Name of Examining Body
Country
Note: Please attach certificate copies of other qualifications
Page 2/3
MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING
National Council for Technical Education (NACTE)
Application Form for Ordinary Diploma
Education Programmes
Please make 3 programme choice according to your preferences
APPLICATION FORM
PART D: PROGRAMMES CHOICE
Please choose three programmes by writing “First, Second or Third” infront of your preferred programme
NOTE: You can make maximam of three programme choices
S/N INSTITUTE NAME
PROGRAMME NAME (Ordinary Diploma in)
1
Kinampanda Teachers College
Early Childhood Education
2
Butimba Teachers College
Primary Education - Science
3
Ilonga Teachers College
Early Childhood Education
4
Katoke Teachers College
Early Childhood Education
5
Kinampanda Teachers College
Early Childhood Education
6
Mhonda Teachers College
Early Childhood Education
7
Mpwapwa Teachers College
Primary Education - Science
8
Mtwara (Kawaida) Teachers College
Early Childhood Education
9
Mtwara (Ufundi) Teachers College
Early Childhood Education
10 Sumbawanga Teachers College
Early Childhood Education
11 Tandala Teachers College
Early Childhood Education
12 Tarime Teachers College
Early Childhood Education
13 Korogwe Teachers College
Primary Education - Science
14 Kleruu Teachers College
Primary Education - Science
15 Tabora Teachers College
Early Childhood Education
16 Songea Teachers College
Early Childhood Education
17 Kasulu Teachers College
Primary Education - Science
18 Tukuyu Teachers College
Primary Education - Science
19 Bustani Teachers College
Primary Education (Arts) (In-Service)
20 Marangu Teachers College
Primary Education (Arts) (In-Service)
Applicants Signature
CHOICE
Date:
Page 3/3